Habari na karibu ndugu
mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na
wiki ya mafanikio sana.
Leo tutaangalia sifa
unazotakiwa kuzitambua kwa mtu unayetaka awe kiongozi au unamtegemea awaongoze.
Tabia
Mtu
mwenye tabia nzuri au njema anakuwa na uaminifu, utiifu, nidhamu, kutegemewa,
uvumilivu,...
Thursday, 2 July 2015
Jinsi ya Kujua Kama Unachofanya Ni Sahihi Katika Maisha Yako
Kila mtu anapokuja hapa
ulimwenguni anakuwa amebeba maagizo maalum ambayo anatakiwa ayatekeleze kwa
ajili ya kufanya ulimwengu kuwa sehemu bora ya kuishi. Njia nzuri ya kuweza
kujua kile unachofanya kama ni sahihi ni kwa kuyafahamu maagizo uliyobeba
ambayo hakuna mwingine zaidi yakeo anaweza kuatekeleza....
Hatua Saba (07) Muhimu Za Kukamilisha Malengo Yako Makubwa

Watu wengi hufikiri
kuwa na lengo lilio fasaha pamoja na kuwa na mtazamo chanya kuhusiana na
ukamilishaji wa lengo ndio msingi mkuu wanaohitaji ili kuweza kuwa na furaha
pamoja na kufanikiwa. Lakini...
Aina Tano (05) za Uwekezaji Zinazoweza Kubadili Maisha Yako

Ili kuweza kuwa na
utajiri endelevu katika maisha yako na unaojitosheleza ni muhimu ukawa
mwekezaji. Uwekezaji upo wa aina nyingi. Hapa ninakuletea aina za uwekezaji
unazoweza kuzifanya ili kukuwezesha...
Hatua 6 za Kuwalea Viongozi Watarajiwa (Chipukizi)

Habari na karibu ndugu
mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio
sana. Ni dhahiri umekuwa ukipata mlo kamili wa akili siku hadi siku kupitia
blogu hii. Ninachopenda...
Jinsi ya Kuwaandaa Kuongoza Viongozi Watarajiwa (Chipukizi)
Habari na karibu ndugu
mpenzi msomaji wa blogu hii ya. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio
sana.
Leo nitazungumzia namna
ya kuwaandaa watu wenye sifa za uongozi ambao umewatambua upo nao katika timu
yako katika taasisi. Kuwaandaa viongozi hawa watarajiwa kunahusisha wewe ambaye
tayari...
Thursday, 25 June 2015
Kanuni Sita(6) Muhimu Za Kushinda Tatizo Lolote Unalokutana Nalo.

Matatizo mengi kamwe
hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa
kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali
kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa...
Thursday, 7 May 2015
Hii Ndiyo Njia Pekee ya Kutatua Matatizo Yako Yote

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...