Mafanikio yako hayatokei siku moja, bali ni muunganiko wa siku nyingi ambazo umeishi kwa mafanikio.
Daima usiruhusu watu waiharibu siku yako kwa kuleta matatizo yao katika siku yako kwa njia yoyote mfano kwa kukuudhi.
Unatakiwa uachane nao na uwe bize kufanya siku yako iwe bora zaidi
Zingatia Haya Ili Uifanye Siku Yako Bora
Related Posts:
Uchambuzi wa Kitabu cha " GETTING RESULTS THE AGILE" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! J.D Meier ni mwandishi wa kitabu cha GETTING RESULTS THE AGILE WAY. Mwandishi katika kitabu hiki anatueleza mfumo wenye nguvu ya ku… Read More
Namna ya Kutambua Dalili Za Kushindwa Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki gari linapopelekwa kwa fundi kwa ajili ya kutatua tatizo lililo nalo, litaweza kutatuliwa ikiwa tuu kisababishi cha tatizo h… Read More
Uchambuzi wa Kitabu cha " SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Ruben Gonzalez ni mwandishi wa kitabu "SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN" . Katika kitabu hiki ameeleza mambo ambayo… Read More
Uchambuzi wa Kitabu " HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! John C. Maxwell ni mmoja wa waandishi maarufu ambao amedumu akitushirikisha mambo mbalimbali ambayo amejifunza katika maisha yake. … Read More
Dondoo Tatu (03) Zitakazokusaidia Kupata Mada za Kuandika Katika Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kati ya maswali yanayoulizwa na waandishi wanaanza kuandika (beginners) ni mada gani waichague kuandika makala katik… Read More
0 comments:
Post a Comment