Monday, 11 April 2016

Kuwa Bango la Matumaini

Be a Billboard for Hope
To live victoriously in our everyday lives, one thing we definitely need is hope. Hope is the happy and confident anticipation of good. It is the belief that something good is about to happen at any moment! And it’s a great place to hang out in your everyday life! Resist the temptation to look at what you have lost or don’t have and choose to look at all that God has done, is doing, and will do. When you do, hope will come alive, joy will increase, faith will grow, and activity will increase. - Joyce Meyer

Katika maisha yetu ya kila siku kitu kimoja cha pekee kikubwa tunachokihitaji ni tumaini. Tumaini ni kitendo cha imani kinachoambatana na furaha pamoja na ujasiri wa kuwa mambo mema yatatokea kwako wakati wowote.
Mara nyingi tumaini hupotezwa kwa kuangalia ni vitu gani tumepoteza au hatuna badala ya kutathmini mambo ambayo Mungu ameyafanya , anayafanya na ataendelea kuyafanya kwa ajili ya maisha yetu ya kila siku.
Tumaini huwa hai, furaha huongezeka , imani hukua na hamasa ya utendaji huongezeka ikiwa tutashinda jaribu la kutazama yale tuliyopoteza au ambayo hatuna

Related Posts:

  • Jenga Mtazamo Huu Unapouliza MaswaliTukio lolote linapotutokea bila kujali ni zuri au baya katika akili kuna mambo matatu huwa yanaendelea: a) Fikra (thoughts) b) Hisia (feelings) c) Hali (circumstances) Bila kujali hali ya tukio mambo hayo 3 ndiyo yanayotuon… Read More
  • Fahamu Haya Kama KiongoziKwa kila unayemuongoza unahusiana naye kwa kulingana na mojawapo kati ya ngazi hizi tano. Ngazi ya chini kabisa ni ngazi ya kwanza na ngazi ya juu kabisa ni ngazi ya tano: 1. Ngazi ya kwanza ambayo tunaanza nayo katika safar… Read More
  • Je, Umepoteza Ujasiri (Confidence)?Katika jambo lolote unalofanya unahitaji kuwa na ujasiri ili uweze kuwa na nguvu au stamina ya kuweza kulileta katika uhasilia(kulikamilisha) bila kujali vikwazo utakavyokutana navyo njiani. Zifuatazo ni njia au namna ambavy… Read More
  • Unahitaji Wastani wa Maswali 12 KufanikiwaUnapofanya maamuzi ya kutaka kufanikiwa unahitaji kufanya mabadiliko ya msingi (fundamental change).Ili kufanya mabadiliko unahitaji namna nzuri ya kuelewa sehemu ambayo unatakiwa kuanzia. Sehemu iliyo bora kabisa ya kuanza… Read More
  • Umakini Unaouhitaji Kabla Hujaanza Kufanya LoloteKutegemeana mtu na mtu kuna tofauti kati ya vitu vinavyoleta bugudha wakati unafanya jambo. Mfano kuna mtu hawezi kufanya kazi katika mazingira yenye kelele au wakati redio inazungumza wakati huo huo kuna mwingine anaweza kuf… Read More

0 comments:

Post a Comment