Monday, 11 April 2016

Kuwa Bango la Matumaini

Be a Billboard for Hope
To live victoriously in our everyday lives, one thing we definitely need is hope. Hope is the happy and confident anticipation of good. It is the belief that something good is about to happen at any moment! And it’s a great place to hang out in your everyday life! Resist the temptation to look at what you have lost or don’t have and choose to look at all that God has done, is doing, and will do. When you do, hope will come alive, joy will increase, faith will grow, and activity will increase. - Joyce Meyer

Katika maisha yetu ya kila siku kitu kimoja cha pekee kikubwa tunachokihitaji ni tumaini. Tumaini ni kitendo cha imani kinachoambatana na furaha pamoja na ujasiri wa kuwa mambo mema yatatokea kwako wakati wowote.
Mara nyingi tumaini hupotezwa kwa kuangalia ni vitu gani tumepoteza au hatuna badala ya kutathmini mambo ambayo Mungu ameyafanya , anayafanya na ataendelea kuyafanya kwa ajili ya maisha yetu ya kila siku.
Tumaini huwa hai, furaha huongezeka , imani hukua na hamasa ya utendaji huongezeka ikiwa tutashinda jaribu la kutazama yale tuliyopoteza au ambayo hatuna

Related Posts:

  • Mfumo Pekee Utakakokusaidia Kukidhi Mahitaji ya Mteja Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Suala la kukidhi mahitaji ya mteja unaowahudumia linakwenda sambamba na utoaji wa huduma bora kwa mteja. Kiwango cha kukidhi mahita… Read More
  • Hatua Nne (04) Katika Uandishi wa Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki unapoanza kuandika makala katika blogu kuna changamoto mbalimbali ambazo utakutana nazo. Changamoto hizi zinatokana na kuwa … Read More
  • Jinsi ya Kutengeneza Bootable USB Drive Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Flash ni kifaa ambacho hutumika kwa ajili ya kuhifadhi data kutoka katika kompyuta. Flash inaweza kuchomekwa na kutolewa katika kom… Read More
  • Uchambuzi wa Kitabu " TOUGH TIMES NEVER LAST BUT TOUGH PEOPLE DO" Robert H Schuller ni mwandishi wa kitabu cha "TOUGH TIMES NEVER LAST BUT TOUGH PEOPLE DO" . Katika kitabu hiki mwandishi anatupa mbinu za kutumia tunapokuwa tunapitia vipindi vigumu katika maisha yetu ya kila siku. Hapa nina… Read More
  • Matumizi Bora ya Siku za Wikiendi na Sikukuu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki katika wiki tuna siku saba, kati ya siku hizi kuna baadhi ya watu kutegemea na ratiba ya majukumu pale anapofanya kazi anaku… Read More

0 comments:

Post a Comment