Business is a learnable skill.
No one comes out of the womb a business expert. Everyone has to learn how to do it. Which means everyone who is great at something now was terrible when they started.
But if you are going to learn things, you have to make sure you are learning right things, the things that makes the difference
~ T Harv Eker
Biashara ni ujuzi ambao unaweza kujifunza. Hakuna ambaye amezaliwa na akawa ni mtaalamu uliyobobea katika biashara , kila mmoja alijifunza namna ya kufanya na hii ina maana kila ambaye anaweza kufanya kitu fulani vizuri basi alishawahi kuwa ovyo wakati anaanza. Na pia hakuna kitu kinakuwa rahisi kabla hakijawa kigumu
Jambo la kuzingatia ni kuwa unapoamua kujifunza basi ujifunze yale mambo ambayo yana maana na yanaleta tofauti chanya katika maisha yako
Mbinu pekee inayoweza kukusogeza hatua moja mbele
Related Posts:
Hatua 6 za Kuwalea Viongozi Watarajiwa (Chipukizi) Habari na karibu ndugu mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio sana. Ni dhahiri umekuwa ukipata mlo kamili wa akili siku hadi siku kupitia blogu hii. Ninachopenda kukuhamasisha jitahidi ka… Read More
Kanuni Sita(6) Muhimu Za Kushinda Tatizo Lolote Unalokutana Nalo. Matatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena ha… Read More
Jinsi ya Kujua Kama Unachofanya Ni Sahihi Katika Maisha Yako Kila mtu anapokuja hapa ulimwenguni anakuwa amebeba maagizo maalum ambayo anatakiwa ayatekeleze kwa ajili ya kufanya ulimwengu kuwa sehemu bora ya kuishi. Njia nzuri ya kuweza kujua kile unachofanya kama ni sahihi ni kwa kuy… Read More
Sifa Unazotakiwa Kuzitambua Kwa Kiongozi Anayeweza Kuleta Mabadiliko Habari na karibu ndugu mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio sana. Leo tutaangalia sifa unazotakiwa kuzitambua kwa mtu unayetaka awe kiongozi au unamtegemea awaongoze. Tabia Mtu m… Read More
Jinsi ya Kuwaandaa Kuongoza Viongozi Watarajiwa (Chipukizi) Habari na karibu ndugu mpenzi msomaji wa blogu hii ya. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio sana. Leo nitazungumzia namna ya kuwaandaa watu wenye sifa za uongozi ambao umewatambua upo nao katika timu yako kati… Read More
0 comments:
Post a Comment