Business is a learnable skill.
No one comes out of the womb a business expert. Everyone has to learn how to do it. Which means everyone who is great at something now was terrible when they started.
But if you are going to learn things, you have to make sure you are learning right things, the things that makes the difference
~ T Harv Eker
Biashara ni ujuzi ambao unaweza kujifunza. Hakuna ambaye amezaliwa na akawa ni mtaalamu uliyobobea katika biashara , kila mmoja alijifunza namna ya kufanya na hii ina maana kila ambaye anaweza kufanya kitu fulani vizuri basi alishawahi kuwa ovyo wakati anaanza. Na pia hakuna kitu kinakuwa rahisi kabla hakijawa kigumu
Jambo la kuzingatia ni kuwa unapoamua kujifunza basi ujifunze yale mambo ambayo yana maana na yanaleta tofauti chanya katika maisha yako
Mbinu pekee inayoweza kukusogeza hatua moja mbele
Related Posts:
Je, Unajua?Ni bora kufanya kitu kisicho kamili kuliko kutokufanya chochote kisicho na dosari Better to do something imperfectly than to do nothing flawlessly… Read More
Fanya Haya ili Ukue1. Usitamani mambo yangekuwa marahisi, tamani ungekuwa bora mno Don't wish it were easier; wish you were better 2. Usitamani ungekutana au ungekuwa na matatizo machache,tamani ungekuwa na ujuzi zaidi Don't wish for less prob… Read More
Usifanye Kosa Hili Katika BiasharaUnapoamua kuchagua kuwa utashirikiana na mtu mwingine kufanya biashara ya ndoto yako, usitumie kigezo cha huyo mshirika kuwa ni mmoja wa wanafamilia wako au ni mmoja wa marafiki zako wa karibu sana, utakuwa umejiingiza katika… Read More
Mambo ya Kuzingatia UnaposhirikianaUnapoamua kushirikiana na mtu mwingine ni vizuri muweke msingi katika masuala 3 yafuatayo ili kuepuka kukatishwa tamaa kwa kutokuwa na ulinganifu wa matarajio na matokeo Jambo la kwanza: Fahamu kila mshirika nini atamiliki (… Read More
Usipuuze TatizoMatatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena hap… Read More
0 comments:
Post a Comment