Tuesday, 12 April 2016

Siri Kubwa ya Biashara ni Kuzalisha Thamani Toshelevu

DELIVER MASSIVE VALUE

Money is a convenient symbol that represents and measures the value of goods and services exchanged between people.

The keyword here is VALUE. It's value that determines your income.

The Law of Income states that , you will be paid in direct proportion to the value you deliver according to the market place.

The reason most people are broke is that they don't deliver a lot of VALUE in the eyes of current market place.
The important element here is DELIVER.

Many people have good ideas, good intentions, even produce good products and services, but either their values is not considered very valuable in the today's market place, or they just don't deliver enough of it. It's simple if you don't deliver a lot, you don't get paid a lot

~ T Harv Eker

Fedha ni alama inayotumika kuwasilisha na kupima thamani ya bidhaa na huduma ambazo watu hubadilishana.
Unalipwa kutokana na kiwango cha thamani thamani ambayo unayoleta katika soko husika.
Unaweza ukawa na mawazo mazuri, nia nzuri hata bidhaa au huduma nzuri pia lakini kiwango cha utoshelevu wa thamani unayoleta katika soko ndicho kinaamua malipo utakayoyapata.
Mambo makubwa mawili ndiyo husababisha kutofanikiwa katika biashara ni aidha thamani ya hicho unachotoa au kiwango cha thamani si toshelevu

Related Posts:

  • Unahitaji Wastani wa Maswali 12 KufanikiwaUnapofanya maamuzi ya kutaka kufanikiwa unahitaji kufanya mabadiliko ya msingi (fundamental change).Ili kufanya mabadiliko unahitaji namna nzuri ya kuelewa sehemu ambayo unatakiwa kuanzia. Sehemu iliyo bora kabisa ya kuanza… Read More
  • Kanuni Inayoamua Wewe Kufanikiwa au KushindwaKatika mambo tunayofanya kuna matokeo mawili; aidha kufanikiwa sawasawa na malengo tuliyojiwekea kabla hatujanza kutekeleza jambo au kutokufanikiwa ambapo tunaweza kukuita kushindwa kutokana na kutofikia vigezo tulivyoviweka … Read More
  • Mbinu za Kustahimili MatatizoSiri moja kubwa ambayo imewafanya watu waliofanikiwa kuendelea vizuri ni mtazamo juu ya matatizo wanayokutana nayo. Ukizielewa kanuni hizi 6 kuhusu matatizo na kuzifanyia kazi ipasavyo wewe pia utakuwa mshindi. 1. Kila mtu a… Read More
  • Fahamu Haya Kama KiongoziKwa kila unayemuongoza unahusiana naye kwa kulingana na mojawapo kati ya ngazi hizi tano. Ngazi ya chini kabisa ni ngazi ya kwanza na ngazi ya juu kabisa ni ngazi ya tano: 1. Ngazi ya kwanza ambayo tunaanza nayo katika safar… Read More
  • Je, Umepoteza Ujasiri (Confidence)?Katika jambo lolote unalofanya unahitaji kuwa na ujasiri ili uweze kuwa na nguvu au stamina ya kuweza kulileta katika uhasilia(kulikamilisha) bila kujali vikwazo utakavyokutana navyo njiani. Zifuatazo ni njia au namna ambavy… Read More

0 comments:

Post a Comment