Katika jambo lolote unalofanya unahitaji kuwa na ujasiri ili uweze kuwa na nguvu au stamina ya kuweza kulileta katika uhasilia(kulikamilisha) bila kujali vikwazo utakavyokutana navyo njiani.
Zifuatazo ni njia au namna ambavyo unaweza kuujenga ujasiri:
1. Shauku (passion) uliyonayo kulitekeleza jambo husika
2. Fahamu mambo ambayo una uwezo wa kufanya vizuri (strength zone) na uyafanye hayo kwa sababu tu ndiyo mambo ambayo utayafanya vizuri na Acha kufanya mambo usiyo na uwezo wa kuyafanya vizuri (weakness zone) kwa sababu hutayafanya vizuri na hauturuhusu mifumo iliyopo ikusaidie katika hayo maeneo usiyoyaweza
3. Fahamu lengo la wewe kuishi au kusudi ambalo Mungu anataka ulitimize (purpose of life) kwa wewe kuwepo hapa ulimwenguni
4. Unahitaji kuwa na utii (obedience) kutimiza lile kusudi ambalo Mungu anataka ulitimize kwa wewe kuwepo hapa ulimwenguni
Kwa kifupi ujasiri unazalishwa hivi:
Shauku + Ushupavu + Kusudi + Utii = Ujasiri
au
Passion + Strength + Purpose + Obedience = Confidence
Je, Umepoteza Ujasiri (Confidence)?
Related Posts:
Mambo 3 ya Msingi Kuhusu MalengoUnapoweka lengo lolote ni muhimu liwe limejengwa katika misingi ya mambo yafuatayo: Jambo la kwanza: Lengo liwe linahamasisha (inspiring) Jambo la pili: Lengo liwe linaaminika (believable) Jambo la tatu: Lengo… Read More
Jinsi ya Kukabili Changamoto za Uandishi Katika Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Pasipo kutegemea lugha gani unaitumia katika uandishi wa makala ambazo unaziweka katika blogu yako, bado suala la uandishi lina cha… Read More
Aina Tano (05) za Uwekezaji Zinazoweza Kubadili Maisha Yako Ili kuweza kuwa na utajiri endelevu katika maisha yako na unaojitosheleza ni muhimu ukawa mwekezaji. Uwekezaji upo wa aina nyingi. Hapa ninakuletea aina za uwekezaji unazoweza kuzifanya ili kukuwezesha wewe na wale watu wako… Read More
Namna Bora ya Kugawa Mapato YakoWakati unapopokea mapato/mshahara wako ugawe katika makundi haya 5 : a) Sadaka Kundi hili la fedha utalitumia kwa kufuata imani yako. Mara nyingi huwa ni asilimia kumi ya mapato. b) Matumizi Kundi hili la fedha ni kwa a… Read More
Mambo 13 ya kuzingatia katika kuelekea mafanikio 1. Watu wengi wanofanikiwa sio kwamba wana ujuzi au uwezo kuzidi ambao unao bali ni kiwango cha maarifa walochonacho ndicho kinatofautisha. Ni muhimu kuwa na hamu na kiu kubwa ya kupata maarifa yanayohusu eneo unalotaka … Read More
0 comments:
Post a Comment