Katika jambo lolote unalofanya unahitaji kuwa na ujasiri ili uweze kuwa na nguvu au stamina ya kuweza kulileta katika uhasilia(kulikamilisha) bila kujali vikwazo utakavyokutana navyo njiani.
Zifuatazo ni njia au namna ambavyo unaweza kuujenga ujasiri:
1. Shauku (passion) uliyonayo kulitekeleza jambo husika
2. Fahamu mambo ambayo una uwezo wa kufanya vizuri (strength zone) na uyafanye hayo kwa sababu tu ndiyo mambo ambayo utayafanya vizuri na Acha kufanya mambo usiyo na uwezo wa kuyafanya vizuri (weakness zone) kwa sababu hutayafanya vizuri na hauturuhusu mifumo iliyopo ikusaidie katika hayo maeneo usiyoyaweza
3. Fahamu lengo la wewe kuishi au kusudi ambalo Mungu anataka ulitimize (purpose of life) kwa wewe kuwepo hapa ulimwenguni
4. Unahitaji kuwa na utii (obedience) kutimiza lile kusudi ambalo Mungu anataka ulitimize kwa wewe kuwepo hapa ulimwenguni
Kwa kifupi ujasiri unazalishwa hivi:
Shauku + Ushupavu + Kusudi + Utii = Ujasiri
au
Passion + Strength + Purpose + Obedience = Confidence
Je, Umepoteza Ujasiri (Confidence)?
Related Posts:
Uchambuzi wa Kitabu cha " SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Ruben Gonzalez ni mwandishi wa kitabu "SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN" . Katika kitabu hiki ameeleza mambo ambayo… Read More
Uchambuzi wa Kitabu cha " GETTING RESULTS THE AGILE" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! J.D Meier ni mwandishi wa kitabu cha GETTING RESULTS THE AGILE WAY. Mwandishi katika kitabu hiki anatueleza mfumo wenye nguvu ya ku… Read More
Vigezo Vitatu (03) Vya Kuzingatia Kabla ya Kupublish Makala Katika Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kwa kila msomaji ambaye amechagua kutembelea blogu yako hakika ni fursa ya kipekee mno kwako, kwa sababu kwanza kati ya ma… Read More
Dondoo Tatu (03) Zitakazokusaidia Kupata Mada za Kuandika Katika Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kati ya maswali yanayoulizwa na waandishi wanaanza kuandika (beginners) ni mada gani waichague kuandika makala katik… Read More
Uchambuzi wa Kitabu " HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! John C. Maxwell ni mmoja wa waandishi maarufu ambao amedumu akitushirikisha mambo mbalimbali ambayo amejifunza katika maisha yake. … Read More
0 comments:
Post a Comment