Katika mambo tunayofanya kuna matokeo mawili; aidha kufanikiwa sawasawa na malengo tuliyojiwekea kabla hatujanza kutekeleza jambo au kutokufanikiwa ambapo tunaweza kukuita kushindwa kutokana na kutofikia vigezo tulivyoviweka kuashiria kuwa jambo tumelifanikisha.
Kushindwa (failure) ni makosa madogo madogo katika maamuzi tunayorudia kuyafanya kila siku kuhusiana na jambo husika
(few error in judgment repeated everyday)
Wakati kufanikiwa (success) ni nidhamu au taaluma chache ambazo tunaziweka katika matendo kila siku kuhusiana na jambo husika
(few disciplines practiced everyday)
Kwa hivyo ulimbikizaji wa haya mambo madogo madogo kwa muda mrefu ndiyo hutupelekea kushindwa au kufanikiwa. Usidharau jambo dogo unalolifanya lichunguze kama hilo jambo unalolifanya ukilifanya kwa staili hiyo hiyo kwa muda mrefu litakuweka upande gani wa kushindwa au kufanikiwa? Kisha chukua hatua.
Kanuni Inayoamua Wewe Kufanikiwa au Kushindwa
Related Posts:
Jinsi ya Kuinstall Kapersky KIS 2017 Katika Microsoft Windows 7Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Ili kulinda programu na data zilizopo katika kompyuta muhimu kuweka programu ambazo zitazuia programu hatarishi kuathiri ufanyaji kaz… Read More
Uchambuzi wa Kitabu cha " SOMETIME YOU WIN SOMETIME YOU LEARN"Mafunzo tunayoyapata kutoka shuleni yanatusaidia kutupa maarifa na msingi wa kutusaidia kutuongoza katika kuelekea maisha yetu nje ya shule au maisha yetu ya kila siku. Ukuaji wa mtu unachangiwa sana na fursa anazojipa katika… Read More
Jinsi Ya Kutambua Uwezo wa Kompyuta YakoHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kompyuta ni kifaa ambacho kinachukua nafasi kubwa katika matumizi ya kazi mbalimbali katika zama hizi za habari. Kompyuta zina… Read More
Sababu Kumi (10) Zinazokuzuia Kuanza BiasharaHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala mbalimbali zinazowekwa katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio. Napenda kukupongeza kwa hatua uliyochukua ya kuamua kutembelea mtandao huu kwa ajili ya kuchota maarifa ambayo… Read More
Shule Mbili (02) Bora Unazopaswa Kuhudhuria Katika MaishaHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki suala la kujifunza ni endelevu halina ukomo. Pale unapopata ukomo wa kujifunza maana yake unajiandaa na kushindwa. Mara baada … Read More
0 comments:
Post a Comment