Katika mambo tunayofanya kuna matokeo mawili; aidha kufanikiwa sawasawa na malengo tuliyojiwekea kabla hatujanza kutekeleza jambo au kutokufanikiwa ambapo tunaweza kukuita kushindwa kutokana na kutofikia vigezo tulivyoviweka kuashiria kuwa jambo tumelifanikisha.
Kushindwa (failure) ni makosa madogo madogo katika maamuzi tunayorudia kuyafanya kila siku kuhusiana na jambo husika
(few error in judgment repeated everyday)
Wakati kufanikiwa (success) ni nidhamu au taaluma chache ambazo tunaziweka katika matendo kila siku kuhusiana na jambo husika
(few disciplines practiced everyday)
Kwa hivyo ulimbikizaji wa haya mambo madogo madogo kwa muda mrefu ndiyo hutupelekea kushindwa au kufanikiwa. Usidharau jambo dogo unalolifanya lichunguze kama hilo jambo unalolifanya ukilifanya kwa staili hiyo hiyo kwa muda mrefu litakuweka upande gani wa kushindwa au kufanikiwa? Kisha chukua hatua.
Kanuni Inayoamua Wewe Kufanikiwa au Kushindwa
Related Posts:
Sifa Unazotakiwa Kuzitambua Kwa Kiongozi Anayeweza Kuleta Mabadiliko Habari na karibu ndugu mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio sana. Leo tutaangalia sifa unazotakiwa kuzitambua kwa mtu unayetaka awe kiongozi au unamtegemea awaongoze. Tabia Mtu m… Read More
Siri Kubwa ya Biashara ni Kuzalisha Thamani ToshelevuDELIVER MASSIVE VALUE Money is a convenient symbol that represents and measures the value of goods and services exchanged between people. The keyword here is VALUE. It's value that determines your income. The Law of Income… Read More
Mbinu pekee inayoweza kukusogeza hatua moja mbeleBusiness is a learnable skill. No one comes out of the womb a business expert. Everyone has to learn how to do it. Which means everyone who is great at something now was terrible when they started. But if you are going to le… Read More
Kuwa Bango la MatumainiBe a Billboard for Hope To live victoriously in our everyday lives, one thing we definitely need is hope. Hope is the happy and confident anticipation of good. It is the belief that something good is about to happen at any mo… Read More
Mambo 10 yatakayokusaidia kuboresha Mawasiliano yako Utangulizi: Kuna wakati mada ambayo unahitaji kuzungumza na hadhira hupelekea kuleta ugumu katika uwasilishaji kwa kujadiliana. Na hii hupelekea kuleta hata hofu kuona kama mahusiano yako na hadhira unayowasilisha majadiliano… Read More
0 comments:
Post a Comment