Katika mambo tunayofanya kuna matokeo mawili; aidha kufanikiwa sawasawa na malengo tuliyojiwekea kabla hatujanza kutekeleza jambo au kutokufanikiwa ambapo tunaweza kukuita kushindwa kutokana na kutofikia vigezo tulivyoviweka kuashiria kuwa jambo tumelifanikisha.
Kushindwa (failure) ni makosa madogo madogo katika maamuzi tunayorudia kuyafanya kila siku kuhusiana na jambo husika
(few error in judgment repeated everyday)
Wakati kufanikiwa (success) ni nidhamu au taaluma chache ambazo tunaziweka katika matendo kila siku kuhusiana na jambo husika
(few disciplines practiced everyday)
Kwa hivyo ulimbikizaji wa haya mambo madogo madogo kwa muda mrefu ndiyo hutupelekea kushindwa au kufanikiwa. Usidharau jambo dogo unalolifanya lichunguze kama hilo jambo unalolifanya ukilifanya kwa staili hiyo hiyo kwa muda mrefu litakuweka upande gani wa kushindwa au kufanikiwa? Kisha chukua hatua.
Kanuni Inayoamua Wewe Kufanikiwa au Kushindwa
Related Posts:
Kitu Hiki Kimoja Ni Muhimu Kuliko Kiwango Cha Fedha Unachotaka.Inawezekana umefika katika hatua ambayo unaona kama ungekuwa na kiasi fulani cha fedha basi matatizo yako yote ambayo yamekuwa yanakusumbua au yanakukabili bila kujali yana umri kiasi gani yangekuwa yamepatiwa ufumbuzi wa … Read More
Jambo Moja la Kuzingatia Ili Uwe Tajiri Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Kabla ya kit… Read More
Mbinu ya Kuishi Kila SikuAnza na kuimaliza siku vizuri kadiri inavyowezekana Begin and end each day properly… Read More
Zingatia Haya Ili Uifanye Siku Yako BoraMafanikio yako hayatokei siku moja, bali ni muunganiko wa siku nyingi ambazo umeishi kwa mafanikio. Daima usiruhusu watu waiharibu siku yako kwa kuleta matatizo yao katika siku yako kwa njia yoyote mfano kwa kukuudhi. … Read More
Hii Ndiyo Njia Pekee ya Kutatua Matatizo Yako Yote Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
0 comments:
Post a Comment