Saturday 14 March 2015

Njia Rahisi Kuzuia Utendaji Mbovu

Kama hali yetu ya hamasa ya kufanya jambo fulani haifanani/haiendani na jambo tunalohitajika kulifanya, moja kwa moja inapelekea kukosa hamasa ya kulitekeleza hilo jambo.

Kukosekana kwa hamasa kutapelekea kulihairisha hilo jambo na kusema litatekelezwa baadae au kesho n.k. Matokeo yake tutakuja kuhamasishwa na msukumo wa muda (time pressure).

Hamasa inayotokana na kufikia muda wa kuliwasilisha jambo (deadline) hupelekea utendaji mbovu kwa ujumla. Usisubiri mpaka uhamasishwe na muda ,jijengee nidhamu ya kufanya kila jambo ulilolipanga kwa wakati hata kama haujisikii kulifanya

0 comments:

Post a Comment