Tuesday 10 March 2015

Unachohitajika Kukifanya Sasa

Ukienda kula hotelini, mezani utakuta kuna chumvi, iko pale na unaweza kutumia vyovyote utakavyo. Lakini huwezi kuweka chumvi yote kwenye chakula kwa sababu ipo pale na umeshalipia kwenye chakula.

Tukiakisi uzoefu huo wa hotelini katika maisha yetu ya kila siku tunaweza kujifunza kwamba chochote unachofanya kwenye maisha usifanye kwa sababu kipo, au kwa sababu kila mtu anafanya. Ila fanya kwa sababu ndicho unachohitaji kufanya.

0 comments:

Post a Comment