Thursday 12 March 2015

Usipobadilika, utamezwa na mabadiliko

Yanapotokea mabadiliko jifunze kukabiliana nayo (kuadapt) kwa haraka vinginevyo utakavochelewa zaidi kwa kutafakari nini cha kufanya na kulialia na hali halisi utatumia gharama kubwa kuyapokea na muda utakuwa umekwenda pia.

Kuna mambo 7 muhimu unayopaswa kufahamu kuhusu mabadiliko (change) ili uweze kupiga hatua zaidi:
a) Mabadiliko hutokea
b) Tazamia/tarajia mabadiliko
c) Fuatilia/simamia mabadiliko
d) Kabiliana na mabadiliko kwa haraka
e) Badilika kutokana na mabadiliko
f) Furahia mabadiliko
g) Kuwa tayari kubadilika kwa haraka ili urejeshe tena furaha yako ya awali kabla ya mabadiliko

Kumbuka mabadiliko hutokea na yataendelea kutokea bila kujali ulikuwa unayatarajia , umeyapenda au hujayapenda.
Kuwa tayari kwa ajili ya mabadiliko.

0 comments:

Post a Comment