Monday, 30 March 2015

Swali la Wiki

Ni kitu gani ungethubutu kukifanya ikiwa kama umehakikishiwa mafanikio kupitia kukifanya hicho kitu? What would you dare to try to do if you were guaranteed to succe...

Sunday, 29 March 2015

Mambo ya Kuzingatia Unaposhirikiana

Unapoamua kushirikiana na mtu mwingine ni vizuri muweke msingi katika masuala 3 yafuatayo ili kuepuka kukatishwa tamaa kwa kutokuwa na ulinganifu wa matarajio na matokeo Jambo la kwanza: Fahamu kila mshirika nini atamiliki (own) Jambo la pili: Fahamu kila mshirika nini atafanya/wajibu (do) Jambo...

Usifanye Kosa Hili Katika Biashara

Unapoamua kuchagua kuwa utashirikiana na mtu mwingine kufanya biashara ya ndoto yako, usitumie kigezo cha huyo mshirika kuwa ni mmoja wa wanafamilia wako au ni mmoja wa marafiki zako wa karibu sana, utakuwa umejiingiza katika matatizo makubwa sana. Vigezo vya kukuongoza kuchagua inatakiwa viwe; maarifa(knowledge),...

Monday, 23 March 2015

Fanya Haya ili Ukue

1. Usitamani mambo yangekuwa marahisi, tamani ungekuwa bora mno Don't wish it were easier; wish you were better 2. Usitamani ungekutana au ungekuwa na matatizo machache,tamani ungekuwa na ujuzi zaidi Don't wish for less problem; wish for more skills. 3. Usitamani ungekutana na changamoto chache, tamani...

Tuesday, 17 March 2015

Je, Unajua?

Ni bora kufanya kitu kisicho kamili kuliko kutokufanya chochote kisicho na dosari Better to do something imperfectly than to do nothing flawles...

Tazama Kushindwa kwa Jicho Hili

Kushindwa hakuamaanishi wewe ndiye uliyeshindwa bali kunamaanisha hujafanikiwa bado Kushindwa hakumaanishi haukutimiza/haujafanikisha kitu bali kunamaanisha umejifunza kitu Kushindwa hakumaanishi wewe ni mjinga bali kunamaanisha unayo imani ya kutosha Kushindwa hakumaanishi umeabika bali kunamaanisha...

Monday, 16 March 2015

Usipuuze Tatizo

Matatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena hapati A au B lakini anafaulu. Kwa mwanafunzi anaweza akalipuuzia kwa kigezo kuwa...

Sumu ya Mafanikio

Unapokosa lengo kubwa katika maisha yako kwa kutokujua nini hasa unahitaji na unakipataje, mara nyingi hupelekea kutegemea maoni au ushauri wa watu wengine zaidi katika kuamua kitu cha kufanya kwa ajili ya maisha yako badala ya kujenga msingi katika kutafuta taarifa za kweli zilizo sahihi. Kwa kutokuwa...

Mbinu za Kustahimili Matatizo

Siri moja kubwa ambayo imewafanya watu waliofanikiwa kuendelea vizuri ni mtazamo juu ya matatizo wanayokutana nayo. Ukizielewa kanuni hizi 6 kuhusu matatizo na kuzifanyia kazi ipasavyo wewe pia utakuwa mshindi. 1. Kila mtu anayo matatizo (Every living human being has problems) Usifikiri ukishafanikiwa...

Sunday, 15 March 2015

Kanuni Inayoamua Wewe Kufanikiwa au Kushindwa

Katika mambo tunayofanya kuna matokeo mawili; aidha kufanikiwa sawasawa na malengo tuliyojiwekea kabla hatujanza kutekeleza jambo au kutokufanikiwa ambapo tunaweza kukuita kushindwa kutokana na kutofikia vigezo tulivyoviweka kuashiria kuwa jambo tumelifanikisha. Kushindwa (failure) ni makosa madogo...

Je, Umepoteza Ujasiri (Confidence)?

Katika jambo lolote unalofanya unahitaji kuwa na ujasiri ili uweze kuwa na nguvu au stamina ya kuweza kulileta katika uhasilia(kulikamilisha) bila kujali vikwazo utakavyokutana navyo njiani. Zifuatazo ni njia au namna ambavyo unaweza kuujenga ujasiri: 1. Shauku (passion) uliyonayo kulitekeleza jambo...

Saturday, 14 March 2015

Fahamu Haya Kama Kiongozi

Kwa kila unayemuongoza unahusiana naye kwa kulingana na mojawapo kati ya ngazi hizi tano. Ngazi ya chini kabisa ni ngazi ya kwanza na ngazi ya juu kabisa ni ngazi ya tano: 1. Ngazi ya kwanza ambayo tunaanza nayo katika safari ya uongozi ni kupewa nafasi ya kuongoza (leadership position). Katika nafasi...

Unahitaji Wastani wa Maswali 12 Kufanikiwa

Unapofanya maamuzi ya kutaka kufanikiwa unahitaji kufanya mabadiliko ya msingi (fundamental change).Ili kufanya mabadiliko unahitaji namna nzuri ya kuelewa sehemu ambayo unatakiwa kuanzia. Sehemu iliyo bora kabisa ya kuanza ni kwa kujiuliza maswali. Kwa nini ujiulize maswali? Kwa sababu karibia matatizo...

Jenga Mtazamo Huu Unapouliza Maswali

Tukio lolote linapotutokea bila kujali ni zuri au baya katika akili kuna mambo matatu huwa yanaendelea: a) Fikra (thoughts) b) Hisia (feelings) c) Hali (circumstances) Bila kujali hali ya tukio mambo hayo 3 ndiyo yanayotuongoza kwa sehemu kubwa namna tutakavyochagua jinsi tutaitikia (kurespond) katika...

Umakini Unaouhitaji Kabla Hujaanza Kufanya Lolote

Kutegemeana mtu na mtu kuna tofauti kati ya vitu vinavyoleta bugudha wakati unafanya jambo. Mfano kuna mtu hawezi kufanya kazi katika mazingira yenye kelele au wakati redio inazungumza wakati huo huo kuna mwingine anaweza kufanya katika mazingira ambayo redio inazungumza. Katika ulimwengu huu wa sasa...

Namna Bora ya Kugawa Mapato Yako

Wakati unapopokea mapato/mshahara wako ugawe katika makundi haya 5 : a) Sadaka Kundi hili la fedha utalitumia kwa kufuata imani yako. Mara nyingi huwa ni asilimia kumi ya mapato. b) Matumizi Kundi...

Njia Rahisi Kuzuia Utendaji Mbovu

Kama hali yetu ya hamasa ya kufanya jambo fulani haifanani/haiendani na jambo tunalohitajika kulifanya, moja kwa moja inapelekea kukosa hamasa ya kulitekeleza hilo jambo. Kukosekana kwa hamasa kutapelekea kulihairisha hilo jambo na kusema litatekelezwa baadae au kesho n.k. Matokeo yake tutakuja kuhamasishwa...

Uwekaji Mipango Usioaminika

Ni asili yetu kuwa na matumaini mema juu ya jambo fulani ambayo yamepitiliza uhalisia. Mfano tunadhani kuwa tutafanya mambo mengi kwa muda mchache kuliko inavyotakiwa kiuhalisia au kudhani jambo unalolifanya litachukua muda mchache kufanyika kuliko muda halisi ambao jambo husika linaweza kuchukua. Kimsingi...

Friday, 13 March 2015

Maliza Robo ya Kwanza 2015 Hivi

Hatua 3 muhimu unazohitaji kuzichukua ili kuweza kutumia muda wako kwa ufanisi na kupata matokeo ya ndoto yako kwa haraka: 1. Have a Plan Kuwa na mpango wa kina unaoanisha nini unachotaka kufanya na mpango huu ni lazima uwe umeuandika sehemu 2. Finish Something Maliza kufanya kitu kwa kukianza...

Thursday, 12 March 2015

Usipobadilika, utamezwa na mabadiliko

Yanapotokea mabadiliko jifunze kukabiliana nayo (kuadapt) kwa haraka vinginevyo utakavochelewa zaidi kwa kutafakari nini cha kufanya na kulialia na hali halisi utatumia gharama kubwa kuyapokea na muda utakuwa umekwenda pia. Kuna mambo 7 muhimu unayopaswa kufahamu kuhusu mabadiliko (change) ili uweze...

Msingi wa kutimiza maisha yenye ufanisi

Uwezo uliopo ndani yetu ni mkubwa sana kuliko kile ambacho tumeshakitendea haki kwa nafasi zetu tulizonazo kwa kutendea ulimwengu. Maswali haya yatakusaidia kutafakari kitu gani ambacho unacho ndani yako bado hujakileta ulimwenguni kwa ajili ya kubadili hali ya sasa, maisha n.k 1. Mimi ni nani? 2....

Wednesday, 11 March 2015

Tuesday, 10 March 2015

Unachohitajika Kukifanya Sasa

Ukienda kula hotelini, mezani utakuta kuna chumvi, iko pale na unaweza kutumia vyovyote utakavyo. Lakini huwezi kuweka chumvi yote kwenye chakula kwa sababu ipo pale na umeshalipia kwenye chakula. Tukiakisi uzoefu huo wa hotelini katika maisha yetu ya kila siku tunaweza kujifunza kwamba chochote unachofanya...