Kama hali yetu ya hamasa ya kufanya jambo fulani haifanani/haiendani na jambo tunalohitajika kulifanya, moja kwa moja inapelekea kukosa hamasa ya kulitekeleza hilo jambo.
Kukosekana kwa hamasa kutapelekea kulihairisha hilo jambo na kusema litatekelezwa baadae au kesho n.k. Matokeo yake tutakuja kuhamasishwa na msukumo wa muda (time pressure).
Hamasa inayotokana na kufikia muda wa kuliwasilisha jambo (deadline) hupelekea utendaji mbovu kwa ujumla. Usisubiri mpaka uhamasishwe na muda ,jijengee nidhamu ya kufanya kila jambo ulilolipanga kwa wakati hata kama haujisikii kulifanya
Njia Rahisi Kuzuia Utendaji Mbovu
Related Posts:
Jinsi ya Kutengeneza Bootable USB Drive Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Flash ni kifaa ambacho hutumika kwa ajili ya kuhifadhi data kutoka katika kompyuta. Flash inaweza kuchomekwa na kutolewa katika kom… Read More
Jinsi ya Kutatua Ukosefu wa Intaneti Katika Smartphone Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kuna wakati unakuta katika smartphone yako umeweka kifurushi cha kutosha cha intaneti lakini huwezi kutumia kutokana na kuik… Read More
Uchambuzi wa Kitabu " TOUGH TIMES NEVER LAST BUT TOUGH PEOPLE DO" Robert H Schuller ni mwandishi wa kitabu cha "TOUGH TIMES NEVER LAST BUT TOUGH PEOPLE DO" . Katika kitabu hiki mwandishi anatupa mbinu za kutumia tunapokuwa tunapitia vipindi vigumu katika maisha yetu ya kila siku. Hapa nina… Read More
Jinsi ya Kupata na Kuongeza Wasomaji Katika Blogu Yako Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki katika moja ya makala zilizopita nilikushirikisha kuhusu hatua nne ambazo zinafuatwa katika uandishi wa makala katika blogu.… Read More
Jinsi ya Kubadili Settings za Kusave Katika Microsoft Word Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Microsoft Word ni moja ya programu muhimu ambayo inatumika kwa kazi mbalimbali katika kompyuta. Programu hii hutumika kwa ajili ya … Read More
0 comments:
Post a Comment