Unapoamua kushirikiana na mtu mwingine ni vizuri muweke msingi katika masuala 3 yafuatayo ili kuepuka kukatishwa tamaa kwa kutokuwa na ulinganifu wa matarajio na matokeo
Jambo la kwanza:
Fahamu kila mshirika nini atamiliki (own)
Jambo la pili:
Fahamu kila mshirika nini atafanya/wajibu (do)
Jambo la tatu:
Fahamu kila mshirika nini atapata (get)
Remember when expectations exceed outcome, you will arrive at disappointments
Mambo ya Kuzingatia Unaposhirikiana
Related Posts:
Uchambuzi wa Kitabu cha " SECRETS OF SELF MADE MILLIONAIRE" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Mwandishi na mjasiriamali Adam Khoo kupitia kitabu hiki cha Secrets of Self Made Millionare, anatushirikisha mbinu mbalimbali amb… Read More
Jinsi ya Kukabili Changamoto za Uandishi Katika Blogu Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Pasipo kutegemea lugha gani unaitumia katika uandishi wa makala ambazo unaziweka katika blogu yako, bado suala la uandishi lina cha… Read More
Uhusiano Uliopo Kati ya Malengo, Uwezo na Ukuaji WakoHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kuna kipindi unaweka malengo na unakuta kadiri muda unavyokwenda unaanza kupata mashaka kama unaweza kuyatimiza au kuyaleta ka… Read More
Hatua Saba (07) za Kukusaidia Kuelekea Uhuru wa Kifedha Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kila mtu anapenda kuishi katika hali ya kuwa na kiwango cha fedha kinachoweza kuhudumia mahitaji yale ya muhimu na kufanya… Read More
Uchambuzi Kitabu cha " DIFFICULT CONVERSATIONS - HOW TO DISCUSS WHAT MATTERS MOST" Kuna wakati mada ambayo unahitaji kuzungumza na hadhira kuwa na ugumu katika uwasilishaji. Na hii hupelekea kuleta hata hofu kuona kama mahusiano yako na hadhira kuweza kubadilika. Changamoto hii huonekana hasa katika mada … Read More
0 comments:
Post a Comment