Ukienda kula hotelini, mezani utakuta kuna chumvi, iko pale na unaweza kutumia vyovyote utakavyo. Lakini huwezi kuweka chumvi yote kwenye chakula kwa sababu ipo pale na umeshalipia kwenye chakula.
Tukiakisi uzoefu huo wa hotelini katika maisha yetu ya kila siku tunaweza kujifunza kwamba chochote unachofanya kwenye maisha usifanye kwa sababu kipo, au kwa sababu kila mtu anafanya. Ila fanya kwa sababu ndicho unachohitaji kufanya.
Unachohitajika Kukifanya Sasa
Related Posts:
Hii Ndiyo Njia Pekee ya Kutatua Matatizo Yako Yote Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
Hatua 6 za Kuwalea Viongozi Watarajiwa (Chipukizi) Habari na karibu ndugu mpenzi msomaji wa blogu hii. Ni matumaini yetu umekuwa na wiki ya mafanikio sana. Ni dhahiri umekuwa ukipata mlo kamili wa akili siku hadi siku kupitia blogu hii. Ninachopenda kukuhamasisha jitahidi ka… Read More
Jambo Moja la Kuzingatia Ili Uwe Tajiri Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Kabla ya kit… Read More
Kanuni Sita(6) Muhimu Za Kushinda Tatizo Lolote Unalokutana Nalo. Matatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena ha… Read More
Zingatia Haya Ili Uifanye Siku Yako BoraMafanikio yako hayatokei siku moja, bali ni muunganiko wa siku nyingi ambazo umeishi kwa mafanikio. Daima usiruhusu watu waiharibu siku yako kwa kuleta matatizo yao katika siku yako kwa njia yoyote mfano kwa kukuudhi. … Read More
0 comments:
Post a Comment