Matatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena hapati A au B lakini anafaulu. Kwa mwanafunzi anaweza akalipuuzia kwa kigezo kuwa hajafeli.
Kamwe usilipuuze tatizo wala usipuuze uwezo wako wa kukabiliana na tatizo. Tambua kuwa tatizo unalokutana nalo kuna mamilioni ya watu duniani wameshapitia tatizo kama hilo. Ukiwa na mtazamo chanya kuhusu tatizo utabadili tatizo na litakupatia uzoefu.
People who approach problems with a positive mental attitude, turn problems into creative experience
Usipuuze Tatizo
Related Posts:
Uhusiano Uliopo Kati ya Malengo, Uwezo na Ukuaji WakoHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kuna kipindi unaweka malengo na unakuta kadiri muda unavyokwenda unaanza kupata mashaka kama unaweza kuyatimiza au kuyaleta ka… Read More
Uchambuzi Kitabu cha " DIFFICULT CONVERSATIONS - HOW TO DISCUSS WHAT MATTERS MOST" Kuna wakati mada ambayo unahitaji kuzungumza na hadhira kuwa na ugumu katika uwasilishaji. Na hii hupelekea kuleta hata hofu kuona kama mahusiano yako na hadhira kuweza kubadilika. Changamoto hii huonekana hasa katika mada … Read More
Uchambuzi wa Kitabu cha ONE MINUTE MANAGER Habari rafiki yangu ambaye unaendelea kufuatilia makala katika blogu hii, wiki hii nilifanikiwa kusoma kitabu kinachoitwa One Minute Manager, hapa chini nimekushirikisha mambo ambayo nilijifunza na kuyanote ili kuweza kutusa… Read More
Hatua Saba (07) za Kukusaidia Kuelekea Uhuru wa Kifedha Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kila mtu anapenda kuishi katika hali ya kuwa na kiwango cha fedha kinachoweza kuhudumia mahitaji yale ya muhimu na kufanya… Read More
Uchambuzi wa Kitabu cha " SECRETS OF SELF MADE MILLIONAIRE" Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Mwandishi na mjasiriamali Adam Khoo kupitia kitabu hiki cha Secrets of Self Made Millionare, anatushirikisha mbinu mbalimbali amb… Read More
0 comments:
Post a Comment