Matatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena hapati A au B lakini anafaulu. Kwa mwanafunzi anaweza akalipuuzia kwa kigezo kuwa hajafeli.
Kamwe usilipuuze tatizo wala usipuuze uwezo wako wa kukabiliana na tatizo. Tambua kuwa tatizo unalokutana nalo kuna mamilioni ya watu duniani wameshapitia tatizo kama hilo. Ukiwa na mtazamo chanya kuhusu tatizo utabadili tatizo na litakupatia uzoefu.
People who approach problems with a positive mental attitude, turn problems into creative experience
Usipuuze Tatizo
Related Posts:
Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kipindi cha Mazoezi ya Vitendo Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Kwa wanafunzi ambao wanasomea fani maalum katika elimu ya juu huwa mtaala wao unagawanywa katika vipindi viwili. Kipindi cha kwanza … Read More
Vigezo vya Kuzingatia Katika Ununuzi wa SmartphoneHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Kutokana na kuwepo watengenezaji mbalimbali wa smartphone, kumekuwa na changamoto ya kuzichagua. Mara nyingi nimekuwa nikiulizwa na m… Read More
Jinsi ya Kuandaa Tangazo la Semina au Mafunzo Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Waandaji mbalimbali wa kozi fupi au semina au mikutano huwa na kawaida ya kutuma taarifa zinazoeleza masuala yatakayofundishwa katika… Read More
Kanuni Kumi (10) za Huduma Bora Kwa Mteja Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Tafiti zinaonesha asilimia sabini ya sababu zinazosababisha kampuni kupoteza wateja zinahusiana kwa kiwango kidogo sana na bidhaa. … Read More
Jinsi ya Kuzuia Kupoteza Makala Katika Blogu Yako (Backup)Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki makala unazoziandika kila siku ni muhimu zikahifadhiwa katika sehemu salama. Si vema sana kuacha zikawepo pale zilipo tuu kwa … Read More
0 comments:
Post a Comment