Ukifanya uchambuzi kwa kulinganisha kundi la "shughuli na fursa" na kundi la "muda na rasimali" utapata hitimisho ya kuona katika kundi la "shughuli na fursa" zipo nyingi kuliko kundi la "muda na rasilimali" tulizonazo kwa ajili ya kuwekeza.
Kitu cha kuzingatia ni kujua tofauti, kujifunza namna ya kuchuja na kuchagua "shughuli na fursa" chache kati ya "shughuli na fursa" nyingi ambazo ni halisi na zenye umuhimu ambazo zitaweza kukusogeza kufikia malengo yako katika maisha.
Fursa nyingi, Muda mchache na Rasilimali chache, Nifanyaje?
Related Posts:
Vigezo vya Kuzingatia Katika Ununuzi wa SmartphoneHabari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Kutokana na kuwepo watengenezaji mbalimbali wa smartphone, kumekuwa na changamoto ya kuzichagua. Mara nyingi nimekuwa nikiulizwa na m… Read More
Kanuni Kumi (10) za Huduma Bora Kwa Mteja Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Tafiti zinaonesha asilimia sabini ya sababu zinazosababisha kampuni kupoteza wateja zinahusiana kwa kiwango kidogo sana na bidhaa. … Read More
Namna Bora ya Kuandika Kichwa cha Habari (Title) Katika Makala Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki katika moja ya makala zilizopita nilikushirikisha kuhusu jinsi ya kukabili changamoto za uandishi katika blogu .Katika hiyo … Read More
Jinsi ya Kuandaa Tangazo la Semina au Mafunzo Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Waandaji mbalimbali wa kozi fupi au semina au mikutano huwa na kawaida ya kutuma taarifa zinazoeleza masuala yatakayofundishwa katika… Read More
Jinsi ya Kuzuia Kupoteza Makala Katika Blogu Yako (Backup)Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki makala unazoziandika kila siku ni muhimu zikahifadhiwa katika sehemu salama. Si vema sana kuacha zikawepo pale zilipo tuu kwa … Read More
0 comments:
Post a Comment