Saturday, 14 March 2015

Uwekaji Mipango Usioaminika

Ni asili yetu kuwa na matumaini mema juu ya jambo fulani ambayo yamepitiliza uhalisia. Mfano tunadhani kuwa tutafanya mambo mengi kwa muda mchache kuliko inavyotakiwa kiuhalisia au kudhani jambo unalolifanya litachukua muda mchache kufanyika kuliko muda halisi ambao jambo husika linaweza kuchukua.

Kimsingi huwa tunasahau kufikiri katika uhalisia muda ambao jambo litachukua kwa kuzingatia uzoefu wetu wa awali. Tunaweka mkazo (focus) katika jambo hilo moja na kusahau kuzikusanya taarifa mbalimbali zilizosambaa ambazo zimetokana na uzoefu wetu katika utekelezaji wa jambo linalofanana au linaloendana nalo. Taarifa hizi zingetusaidia kuweka uhalisia na hivyo kutupatia uwekaji mipango bora iliyo halisi.Hii hutupatia matokeo ya uwekaji mpango hafifu au mbovu.

Related Posts:

  • Swali la WikiNi kitu gani ungethubutu kukifanya ikiwa kama umehakikishiwa mafanikio kupitia kukifanya hicho kitu? What would you dare to try to do if you were guaranteed to succeed?… Read More
  • Mambo ya Kuzingatia UnaposhirikianaUnapoamua kushirikiana na mtu mwingine ni vizuri muweke msingi katika masuala 3 yafuatayo ili kuepuka kukatishwa tamaa kwa kutokuwa na ulinganifu wa matarajio na matokeo Jambo la kwanza: Fahamu kila mshirika nini atamiliki (… Read More
  • Fanya Haya ili Ukue1. Usitamani mambo yangekuwa marahisi, tamani ungekuwa bora mno Don't wish it were easier; wish you were better 2. Usitamani ungekutana au ungekuwa na matatizo machache,tamani ungekuwa na ujuzi zaidi Don't wish for less prob… Read More
  • Usifanye Kosa Hili Katika BiasharaUnapoamua kuchagua kuwa utashirikiana na mtu mwingine kufanya biashara ya ndoto yako, usitumie kigezo cha huyo mshirika kuwa ni mmoja wa wanafamilia wako au ni mmoja wa marafiki zako wa karibu sana, utakuwa umejiingiza katika… Read More
  • Usipuuze TatizoMatatizo mengi kamwe hayatatuliwi au hayadhibiti kwa ufanisi kutokana na kutoyapa uzito wa kutosheleza. Hakuna tatizo ambalo halina umuhimu kiasi kuwa hatuhitaji kujali kuhusu hilo tatizo. Mfano kwa mwanafunzi inawezekena hap… Read More

0 comments:

Post a Comment