Monday, 31 October 2016

Saturday, 29 October 2016

Friday, 28 October 2016

Thursday, 27 October 2016

Wednesday, 26 October 2016

Tuesday, 25 October 2016

Monday, 24 October 2016

Saturday, 22 October 2016

Matumizi Bora ya Siku za Wikiendi na Sikukuu

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki katika wiki tuna siku saba, kati ya siku hizi kuna baadhi ya watu kutegemea na ratiba ya majukumu pale anapofanya kazi anakuwa na siku moja au mbili za mapumziko. Siku hizi za mapumziko huwa zinafahamika...

Friday, 21 October 2016

Thursday, 20 October 2016

Vigezo vya Kuzingatia Katika Ununuzi wa Smartphone

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Kutokana na kuwepo watengenezaji mbalimbali wa smartphone, kumekuwa na changamoto ya kuzichagua. Mara nyingi nimekuwa nikiulizwa na marafiki maswali haya;je, ninunue smartphone gani? au smartphone ipi ni nzuri? Uzuri...

Wednesday, 19 October 2016

Jinsi ya Kuzuia Kupoteza Makala Katika Blogu Yako (Backup)

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki makala unazoziandika kila siku ni muhimu zikahifadhiwa katika sehemu salama. Si vema sana kuacha zikawepo pale zilipo tuu kwa sasa na kujiamini kuwa inatosha bila kuwa na sehemu mbadala ambapo unaweza...

Tuesday, 18 October 2016

Jinsi ya Kuandaa Tangazo la Semina au Mafunzo

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Waandaji mbalimbali wa kozi fupi au semina au mikutano huwa na kawaida ya kutuma taarifa zinazoeleza masuala yatakayofundishwa katika mafunzo husika. Kupitia kiwango cha taarifa anazozituma aliyeandaa mafunzo...

Monday, 17 October 2016

Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kipindi cha Mazoezi ya Vitendo

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Kwa wanafunzi ambao wanasomea fani maalum katika elimu ya juu huwa mtaala wao unagawanywa katika vipindi viwili. Kipindi cha kwanza katika muhula huwa ni kujifunza kwa nadharia. Hapa wanafunzi hujifunza nadharia...

Saturday, 15 October 2016

Friday, 14 October 2016

Thursday, 13 October 2016

Wednesday, 12 October 2016

Uhusiano Uliopo Kati ya Malengo, Uwezo na Ukuaji Wako

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio! Rafiki kuna kipindi unaweka malengo na unakuta kadiri muda unavyokwenda unaanza kupata mashaka kama unaweza kuyatimiza au kuyaleta katika uhalisia. Ikiwa utajishawishi na kuikubali hii hali kuendelea itakufanya...

Tuesday, 11 October 2016

Monday, 10 October 2016

Sunday, 9 October 2016

Saturday, 8 October 2016

Friday, 7 October 2016