Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki suala la kujifunza ni endelevu halina ukomo. Pale unapopata ukomo wa kujifunza maana yake unajiandaa na kushindwa. Mara baada ya kumaliza elimu ya darasani kamwe usikubali kufanya hitimisho la kusoma....
Tuesday, 29 November 2016
Monday, 28 November 2016
Jinsi Ya Kutambua Uwezo wa Kompyuta Yako
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki kompyuta ni kifaa ambacho kinachukua nafasi kubwa katika matumizi ya kazi mbalimbali katika zama hizi za habari. Kompyuta zina sifa mbalimbali kutegemeana na mahitaji ya kazi zinazokwenda kufanya. Hivyo...
Sunday, 27 November 2016
Namna Ya Kudelete File Katika Kompyuta
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki moja ya operation ambayo inafanyika mara kwa mara katika matumizi ya kompyuta ni delete. Delete hufanya kazi ya kufuta file lililopo katika sehemu au location katika kompyuta.
Kuna namna mbili ambazo unazoweza...
Saturday, 26 November 2016
Uchambuzi Kitabu cha " THE COMPOUND EFFECT"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Darren Hardy ni mwandishi wa kitabu cha THE COMPOUND EFFECT. Katika kitabu hiki mwandishi anatueleza siri kubwa iliyopo katika kufanya mambo hatua kwa hatua kidogo kidogo ili kufikia mafanikio. Hapa tunajifunza...
Friday, 25 November 2016
Njia Bora Ya Kukabili Changamoto Yoyote
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki maisha tunayoishi yana changamoto za aina mbalimbali. Changamoto hizi ni njia pekee ambayo kama utaiitumia vizuri itakusaidia kukusogeza hatua ya ziada.
Katika makala ya leo napenda kukushirikisha namna...
Wednesday, 23 November 2016
Kwa Nini Unahitaji Kujifunza Jambo Jipya Kila Siku?
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki mabadiliko na ukuaji ni vitu viwili muhimu vyenye mchango mkubwa katika maisha tunayoishi kila siku. Maisha yanakua na ladha ambayo inatufanya kuendelea kuyafurahia kwa sababu ya mabadiliko na kukua.
Kujifunza...
Tuesday, 22 November 2016
Uchambuzi Kitabu cha " MEGALIVING, 30 DAYS TO PERFECT LIFE"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Robin Sharma ni mwandishi wa kitabu cha MEGALIVING, 30 DAYS TO PERFECT LIFE. Katika kibao hiki Robin anaeleza namna ambavyo unaweza kuyabadilisha maisha yako kwa kutumia uwezo wako na kuyafanya kuwa bora. Hapa...
Monday, 21 November 2016
Tofauti Ya Matumizi Ya Copy na Cut
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Katika matumizi ya kompyuta kila siku kuna operations ambazo hufanywa mara kwa mara ili kukuwezesha kukamilisha kazi (task) uliyokuwa unaifanya. Kwa bahati nzuri teknologia hii imeenea sana mpaka kugusa pia simu...
Sunday, 20 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu " LUNCHTIME TRADER"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Marcus de Maria ni mwandishi wa kitabu cha THE LUNCH TIME TRADER. Katika kitabu hiki mwandishi ametueleza namna ambavyo unaweza kutumia muda ambao unautumia kwa ajili ya chakula cha mchana kukusaidia kupata mafanikio...
Saturday, 19 November 2016
Tofauti Kati Ya Save Na Save As Katika Programu Za Kompyuta
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Katika programu zinazotumika katika kompyuta , njia ya pekee ya kukulinda usipoteze kazi uliyofanya ni kusave. Katika kila programu maneno haya Save na Save As utayakuta katika menu ya File.
Kwa kukuangalia maneno...
Friday, 18 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu cha "ACT LIKE A SUCCESS THINK LIKE A SUCCESS"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Steve Harvey ni mchekeshaji maarufu sana ambaye ameanza fani hii kati ya miaka ya 1980. Pamoja na fani hii ya uchekeshaji Steve ameandika vitabu mbalimbali kama Act Like A Lady, Think Like A Man and Straight...
Thursday, 17 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu cha " EAT THAT FROG"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Brian Tracy ni mwandishi wa kitabu cha "EAT THAT FROG". Brian ni mwalimu mwenye uzoefu sana katika eneo la mafanikio. Mambo mengi ambayo Brian anatushirikisha ni yale ambayo amekuwa akijifunza, kisha anayafanyia...
Wednesday, 16 November 2016
Faida Tatu (03) za Biashara Inayoendeshwa Kwa Intaneti

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki katika zama za viwanda (industrial age) bidhaa nyingi zilizokuwa zinauzwa zipo physical kiasili. Bidhaa...
Tuesday, 15 November 2016
Mambo Matano (05) Yanayosababisha Kushindwa
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki si wote wanajifunza kutokana na makosa wanayoyafanya au kutambua mapema makosa waliyoyafanya ili wasiyarudie. Kuwa na mwongozo kutasaidia sana kujua namna ya kuenenda katika mambo haya.
Katika maisha ya...
Monday, 14 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu " HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK"

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
John C. Maxwell ni mmoja wa waandishi maarufu ambao amedumu akitushirikisha mambo mbalimbali ambayo amejifunza...
Sunday, 13 November 2016
Namna ya Kutambua Dalili Za Kushindwa

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki gari linapopelekwa kwa fundi kwa ajili ya kutatua tatizo lililo nalo, litaweza kutatuliwa ikiwa tuu...
Saturday, 12 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu cha " GETTING RESULTS THE AGILE"

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
J.D Meier ni mwandishi wa kitabu cha GETTING RESULTS THE AGILE WAY. Mwandishi katika kitabu hiki anatueleza...
Friday, 11 November 2016
Jinsi Ya Kuishinda Hofu Uliyonayo

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki katika maisha watu wamekuwa wakitawaliwa na hofu, wameipa hofu nafasi kubwa ya kutawala maisha yao....
Thursday, 10 November 2016
Mambo Matano (05) Yaliyojificha Katika Mafanikio Yako

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki watu wengi wamekuwa wakipima mafanikio kwa kiwango cha vitu vinavyomilikiwa na mhusika. Kutokana na...
Wednesday, 9 November 2016
Hatua Zitakazokusaidia Kukabili Changamoto Zinazokuzuia Kupata Mafanikio

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki unahitaji kufahamu haitatokea kuwepo kwa mtu ambaye ataishi au atapata mafanikio kwa ajili yako au...
Tuesday, 8 November 2016
Vigezo Vitatu (03) Vya Kuzingatia Kabla ya Kupublish Makala Katika Blogu

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki kwa kila msomaji ambaye amechagua kutembelea blogu yako hakika ni fursa ya kipekee mno kwako, kwa...
Monday, 7 November 2016
Dondoo Tatu (03) Zitakazokusaidia Kupata Mada za Kuandika Katika Blogu

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Rafiki kati ya maswali yanayoulizwa na waandishi wanaanza kuandika (beginners) ni mada gani waichague...
Sunday, 6 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu cha " SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN"
Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Ruben Gonzalez ni mwandishi wa kitabu "SUCCESS SECRETS OF THREE TIME OLYMPIAN" . Katika kitabu hiki...
Saturday, 5 November 2016
Uchambuzi wa Kitabu The Top Ten Distinctions Between Winners and Whiners

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Keith Cameron Smith ni mwandishi wa kitabu "THE TOP TEN DISTINCTIONS BETWEEN WINNERS AND WHINERS "....
Friday, 4 November 2016
Mbinu Tano (05) Zitakazomzuia Mteja Wako Kukasirika

Habari rafiki yangu ambaye ni mfuatiliaji wa makala katika blogu hii ya Stadi za Mafanikio!
Unaposhindwa kukidhi mahitaji ya mteja sawasawa na matarajio yake, au mteja anapoona mtoa huduma anamkwepa...